Tuesday, 20 August 2013

NEWS:MISS WORLD LISSA JENSEN KUJIFUNGUA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA



Mwakilishi wa Tanzania kwenye Miss world
Mwaka 2012 Lissa Jensen anatazamiwa
 kujifungua muda wowote
kuanzia hivi sasa....
Akionekana majira ya jioni kwenye Clinic ya Dr
bingwa nchini wa wanawake Pro Mugaya
aliwasili na mpenzi wake ambae ndio baba
mtarajiwa,Lissa mwenye kuonekana kuchoka
Detective wa Thisisdiamond alimshuudia
 akishuka kwenye gari aina ya Prado akiwa
amevalia Pensi ya jinsi na Blauzi kubwa akiwa na
 kijana mwingine na kumuacha mpenzi wake
huyo mwenye asili ya ushombe shombe kwenye
 gari....Baada ya kuwasili Hospitalini hapo
kijana ambae akufahamika mapema alionekana
ndie alifanikisha kila kitu hadi kuweza kumuona
daktari huyo bingwa wa wanawake nchini kutoka
Muhimbili mwenye clinic yake ya wanawake
maeneo ya mbuyuni Maria Clinic.
Aidha Ilionekana kama kutokusemeshana baina ya
mpenzi yule na Lissa hadi ameingia kuonana
na Dr ndio yule kijana mrefu nae aliingia kusikiliza kinachoendelea.
Kwa mujibu wa Nesi wa Clinic ile alifunguka hivi
''Atajifungua muda wowote,amechoka sana
sidhani hata kama mwezi wa tisa utafika''
alizidi kufunguka ''Hii ndio clinic yao wanakuja
sana hapa ni kwa daktari mzuri pia
lakini kwa mdada huyu mimba inampelekesha
sana,kama ata wewe ulimuona pindi ana wasili
hapa,ajiwezi kwa chochote alipofikia muda
huu naona dhairi atajifungua hivi karibuni''

Thisisdiamond inamtakia heri na baraka tele na
mwenyezi Mugu aweze kumsaidia kujifungua
salama salmini....

0 comments:

Post a Comment