Tuesday, 27 August 2013

NEWS:TIZAMA PICHA......HII NDIO NGUO ALIYOVAA BOSS LADY WA KENYA KWENYE BBA THE CHASE 2013 FINAL




Huddah Monroe,The Boss Lady
mwenyewe toka area code +254 kwa
mzee Uhuru Kenyatta,katika kuendeleza


 mwenendo wake mzuri na kujiweka
saawia kama jina lake hii ndio nguo ambayo
 imeonekana kuwachanganya watu wengi
waliofuatilia finali hizo za Big Brother the chase 2013
Kipindi anaingia kwenye finali hizo nguo hiyo
yenye rangi ya njano ndio imeonekana
kuwachanganya wengi kutokana na muonekano
 na figa matata ya mrembo huyu
aliekuwa mwakilishi wa Kenya kwenye Mashindano hayo.

Kupitia mtandao wa Twitter watu waliomfuata
kule walionekana kumpongeza zaidi
kwa mtoko ule wa siku na kuonekana supa

zaidi ya walivyotegemea kumuona
mrembo huyo mwenye matashititi yake.....
Je wewe unasemaje  kutokana
 na nguo hiyo......Ebu tiririka basi
tujue na wewe imekubamba au Lah.....!!

0 comments:

Post a Comment